Verse 1:
Bb Eb Bb Bb/F Bb
Mwamba uliopasuka, ndani yako nijifiche!
F7 Bb F7 Bb
Maji yale, damu ile, itokayo mbavu zako,
Bb Eb Bb Bb/F Bb
iwe dawa ya kuponya roho yangu na ubaya!
Verse 2:
Kazi za mikono yangu, haziwezi kukomboa.
Hata ningelia sana na kutenda kazi nyingi,
singeweza kuokoka, peke yako u Mwokozi.
Verse 3:
Ndani yangu sina kitu, naushika msalaba.
Uchi mimi, univike! Sina nguvu, ‘nichukue!
Ni mchafu, unioshe! Wewe u Mwokozi wangu.
Verse 4:
Kwa maisha yangu yote hata nitatoa roho,
hata saa ya kuitwa mbele ya Mfalme wangu,
mwamba uliopasuka, nijifiche ndani yako!